Watu Watatu wameuawa na magaidi huko Muidumbe

15 September, 2022

Karibu kwenye sauti ya Cabo Delgado mahali pa kusikiliza zaidi kuhusu Jimbo ili.

Sauti ya Cabo Delgado inatengenezwa na Plural Media kwa kushirikiana na mradi wa Cabo Ligado.

Alhamissi hii septemba 15.2022,tunayo mambo muhimu yafuatayo .

🔸 Watu Watatu wameuawa na magaidi huko Muidumbe

🔸 Polisi imewafunga watu 29 kwa tuhuma za kuwa Magadi

🔸 Serikali ya Memba imetowa magari kwa agili ya kuwarudisha wakimbizi.


Endelea kupata habari za Cabo Delgado kupitia kurasa yetu ya avoz.org au kutoka kwa Kurasa yetu ya Facebook,chenel ya telgram na program yoyote ya podcast.

Pokeya habari za kila siku kwenye WhatssAp kwa kutuma ujumbe kwenda +258843285766 kisha uchague lugha yako kati ya kireno,kimakuwa,kimakonde,kimuani ma kiswahili.

Plural Media habari kwa lugha yako

Zilizosomua sana

magnifierchevron-down