Jeshi lá wagambo linaomba sílaha kutoka Kwa mkuu wa wilaya Ili kipigana na magaidi huko Mocimboa da Praia

10 January, 2024
Foto: Ministério do Interior de moçambique

Habari gani, karibu kwenye toleo ya sauti ya Cabo Delgado tarehe 10.01.2024.Sauti ya Cabo Delgado ni nafasi ya habari inayotengenezwa na Plural Media Kwa kushirikiana na Mradi wa Cabo Ligado.

Kwasasa mambo muhimu.

🔸 Watu sita wamekufa katika shambulio lingine lá kigaidi huko Cabo Delgado.

🔸 Shirika lá MSF wanaomboleza kifo cha mfanyakazi wawo katika shambulio la kigaidi huko Mocimboa da Praia.

🔸 Jeshi lá wagambo linaomba sílaha kutoka Kwa mkuu wa wilaya Ili kipigana na magaidi huko Mocimboa da Praia.


Pata habari kuhusu mzozo wa Cabo Delgado kupitia kurasa zetu za Facebook telgram na program yoyote ya podcast au tembelea habari zetu kwenye ukurasa wa Avoz.org.

Unaweza kupata habari izi kupitia WhatssAp kila Jumanne na Alhamisi Kwa kutuma ujumbe kwenda +258843285766 Kisha uchague lugha unayopendelea kati ya kireno, kimakuwa, kimakonde, kimuani na kiswahili.

Plural Media habari kwa lugha yako.

Zilizosomua sana

magnifierchevron-down