Watu watatu wameuawa na kumi kujeruhiwa katika mashambulizi zaidi ya kigaidi huko Cabo Delgado

2 June, 2022

Karibu Sauti ya Cabo Delgado mahali ambaopo unaweza kujifunza zaidi kuhusu Jimbo la Cabo Delgado Halamisi hii Juni 02,2022 tunayo mambo muhimu yafuatayo.

🔸Watu watatu wameuawa na kumi kujeruhiwa katika mashambulizi zaidi ya kigaidi huko Cabo Delgado.

🔸Watu waliokimbia makazi yao wakifanya mazoezi ya chuma chakavu katika mji wa Pemba.

🔸Kampuni 150 zilizoathiriwa na ugaidi walianza tena chuguli zao.

Endelea kupata habari za Cabo Delgado kupitia kurasa zetu ya avoz.org au kutoka kwa kurasa zetu za Fecebook cheneli ya telgram na program yoyote podcast.

Pokeya habari za kila siku kwenye Whatssap kwa kutuma ujumbe kwenda +258843285766 kisha uchague lugha yako kati ya Kireno,Emakwa,Shimakonde,Kimuani au kishuhili.

Plural Media habari kwa lugha yako

Zilizosomua sana

magnifierchevron-down