Wananchi wa Pemba watoa wito wa kukomesha Mashambulizi ya kigaidi

11 October, 2024
Foto: MSF em Cabo Delgado @MSF

Habari gani karibu kwenye toleo ya sauti ya Cabo Delgado terehe 12.10.2024, Sauti ya Cabo Delgado ni nafasi ya Habari inayotengenezwa na Plural Media wakishilikiana na mradi wa Amani na utulivu.

Vichwa vya Habari:

🔸 Rais wa Jamhur amfukuza kazi mkuu wa Majeshi

🔸 Kiwanda Cha kubangua korosho kimiajiri watu 100 huko Palma

🔸 Wananchi wa Pemba watoa wito wa kukomesha Mashambulizi ya kigaidi.


Tumefika Mwisho wa toleo hiili ya Avoz.org ya Cabo Delgado pata habari za mkoa wa Cabo Delgado kupitia kurasa zetu za Facebook telegram na program yoyote ya podcast, au tembelea habari zetu kwenye ukurasa wa Avoz .org.

Zilizosomua sana

magnifierchevron-down